MATUMIZI YA YA TUMBAKU NI HATARI
![]() |
| Siraji Abubakari Mkazi wa Ilemela Mwanza |
![]() |
Siku ya Kupinga Matumizi ya Tumbaku Duniani, huadhimishwa Mei 31 kila mwaka. Siku hii
inalenga kuongeza uelewa juu ya hatari za matumizi ya tumbaku, hatua za
kudhibiti tumbaku na kufichua mbinu hatari zinazotumiwa na makampuni ya
tumbaku.
Nchi Wanachama wa
Shirika la Afya Ulimwenguni ziliunda Siku ya Kupinga Matumizi ya Tumbaku
Duniani mwaka 1987 ili kueleza janga la tumbaku, vifo vinavyoweza kuzuilika na
magonjwa yanayosababishwa na tumbaku.
Kwa maelezo ya
Shirika laAfya Duniani, Matumizi ya tumbaku, yana athari mbaya kwa mwili,hudhuru
karibu kila kiungo katika mwili, na uvutaji tumbaku, ni moja ya sababu kuu ya vifo
vya mapema ambavyo husababishwa na na Magonjwa kama SarataniKifua na na
mengine na wahanga wakubwa ni vijana
Kwa mujibu wa WHO,
matumizi ya tumbaku huuwa takribani watu milioni sita kila mwaka. Watu laki
sita kati ya hao, hufa kutokana na kuathiriwa na moshi wa tumbaku zinazovutwa
na watu wengine.
Inakadiriwa kuwa
kufikia mwaka 2030 watu milioni nane watakuwa wanakufa kwa sababu ya tumbaku,
kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya Saratani ya Marekani (ACS)
Kwanini Tumbaku
nihatari, nabado matumizi yake yanazidi kushika kasi katika jamii mbalimbali? Wananchi kutoka Mkoani Mwanza siraji Abubakari naa Haruna Hashimu,
wameleza kuwa bado Elimu inahitajika katika jamii kutambua madhala yatokanayo
na matumizi ya Tumbaku
‘’Madhala yatokanayo
na tumbakuni makubwajapohayapewi kipaumbele ili Watu waweze kujiepusha hivyo
Elimu itiliwe mkazo’’ amesema Haruna
Ikumbukwe kuwa
Mtuakishapata madhala yanayokana na tumbaku Matibabu yake ni garama kubwa
uathiri vipato vya familia na nguvu kazi ya Taifa hivyo pendastarehe chukua na tahadhari linda maisha yako acha kuiga
bali penda kujifunza




Maoni
Chapisha Maoni