Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti, 2015

Ni wazi kuwa maisha katika uso wa Dunia hutegemea huduma ubora wa huduma zitolewazo na mazingira husika. Ukiangalia mfumo wa ikolojia wa misitu, bahari, mbugani na kwenye udongo utaona uwepo wa maji, hewa nzuri na rutuba ya udongo ndivyo vinavyopelekea wanyama na mimea kuwepo na kupendezesha mazingira.

Picha
Eneo la Igamba katika Mto Maragalasi ambako waligundulika vyura na Konokono wasiopatikana kokote Duniani ambapo lilitakikiwa kujengwa kituo cha kufua umeme  Baadhi ya washiriki wa semina ya uhifadhi viumbe hai na Mazingira iliyofanyika Kazulamimba  Donald Kasongi mkurugenzi mtendaji shirika la Governance Links akiwa mwezeshaji katika semina ya uhifadhi wa mazingira Kazulamimba Pantaleo Shoki Mkurugenzi wa utafiti na sera shirika la Governance Links Ni wazi kuwa maisha katika uso wa Dunia hutegemea huduma ubora wa huduma zitolewazo na mazingira husika. Ukiangalia mfumo wa ikolojia wa misitu, bahari, mbugani na kwenye udongo utaona uwepo wa maji, hewa nzuri na rutuba ya udongo ndivyo vinavyopelekea wanyama na mimea kuwepo na kupendezesha mazingira. Wakazi wa kata ya Kazulamimba wilaya ya uvinza mkoani Kigoma wamepata kujifunza kuhusu uhusiano uliopo kati ya mazingira na maisha ya viumbe hai katika uso wa Dunia. Waliweza kutambua kuwa Mazingira  ni juml

Wakazi wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma wameitaka serikali ijayo kuhakikisha inatatua kero zinazowakabili wananchi katika maeneo mengi hapa nchini hususa kwa wale wanaoishi vijijini ambao kufikiwa na huduma mbalimbali za kijamii ni kwa kususua

Picha
Aisha Meda mkazi wa kiyobelas Juma Maganga mgombea udiwani kakonko Caros Gwamagobe aliyekuwa mgombea ubunge kura za maoni ccm Buyungu Christopha Chiiza mgombea ubunge Buyungu akipokea Ilani ya chama cha mapinduzi Julias Mbwiga katibu Ccm Kakonko  Mwinyi Ramadhani mkazi wa kakonko Wakazi wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma wameitaka serikali ijayo kuhakikisha inatatua kero zinazowakabili wananchi katika maeneo mengi hapa nchini hususa kwa wale wanaoishi vijijini ambao  kufikiwa na huduma mbalimbali za kijamii  ni kwa kususua Wakiongea na clouds Tv wananchi hao ambao ni Ramadhan Mwinyi, Aisha Medas na Juliana Emily, wamesema kuwa hivi wananchi wanakumbwa na matatizo mengi ikiwa ni kukosa huduma za Afya, Maji, Barabara na Elimu na hata kutotendewa haki na baadhi ya viongozi wa ngazi za vijiji na kata hatua inayokwamisha juhudi za maendeleo Wameeleza kuwa hivi sasa nchi inaelekea kipindi cha uchaguzi mkuu wagombea wengi wa wanafasi za Urais,

Shule ya msingi Nengo ya Walemavu, iliyoko wilayani Kibondo mkoani kigoma, inayohudumia wanafunzi walemavu wa mahitaji maalum inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni ukosefu wa maji Vifaa vya kujinfunza na kufundishia na vyombo vya kulia chakula

Picha
Wanafunzi shule ya msingi Nengo elimu maalum walemavu Elisha  George mwanafunzi shule ya msingi nengo walemavu  Lukas Frand muu wa shule ya Nengo Islafil Ntoteye mwenyekiti chama cha walemavu wa ngozi w kibondo Shule ya msingi Nengo iliyoko wilayani Kibondo mkoani kigoma, inayohudumia wanafunzi walemavu wa mahitaji maalum inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni ukosefu wa maji  Vifaa vya kujinfunza na kufundishia na vyombo vya kulia chakula Akisoma lisara kwa niaba ya wanafunzi wenzake wakati wa afla ya matembezi kwa ajili ya kutoa elimu juu ya kuwatambua na kuwa thamini walemavu yaliyoandaliwa chama cha walemavu wa ngozi Tas kwa kuzishirikisha  baadhi ya shule za sekondari za  mjini kibondo Elisha George ambaye ni mlemavu wa macho, hali inayoweza kusababisha kiwango cha elimu kushuka Ameeleza kuwa  kwa wanafunzi ambao si walemavu wa viungo wanatumia muda mrefu kuchota maji badala ya kusoma, kwa ajili ya kuwasaidia wenzao  wasiyokuwa

Mahakama ya Wilaya ya kibondo mkoani Kigoma imemuhukumu Mkazi mmoja wa kijiji cha Muhange Wilaya Kakonko kutumikia adhabu ya miaka 7 gerezani au kulipa faini ya shiringi milioni 6 baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha watoto wa wili raia wa kigeni kutoka nchini Burundi.

Picha
Mahakama ya Wilaya ya kibondo mkoani Kigoma imemuhukumu Mkazi mmoja wa kijiji cha Muhange Wilaya Kakonko  kutumikia adhabu ya miaka 7 gerezani au kulipa faini ya shiringi milioni 6 baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha watoto wa wili raia wa kigeni kutoka nchini Burundi. Mbele ya hakimu Mkaazi  wa Mahakama ya wilaya ya kibondo Bw.  Mlokozi Mkamuntu Mwendesha mashitaka wa Idara ya Uhamiaji  Bw. Baraka Manga   amemtaja mtuhumiwa  huyo kuwa ni  Norbeth Dominico mwenye umri wa miaka 21 mkazi wa kijiji cha Muhange Wilayani Kakonko. Mwendesha mashitaka wa idara ya uhamiaji Bw.Manga amesema kuwa mnamo Augost 16 mwaka huu, majira ya saa 11:00 asubuhi katika kituo cha Polisi cha ukaguzi wa magari mjini Kakonko mtuhumiwa alikutwa na watoto wa kike wa wili akiwasafirisha kutoka nchini Burundi kuelekea Mkoani Shinyanga kinyume na sheria. Aidha katika maelezo ya awali Bw. Manga amewataja watoto hao kuwa ni Miuelle Emmanuel mwenye umri wa miaka 16 na Safina Adamu mwenye umri wa miaka 17 w

Uingereza na uhamiaji haramu

Picha
Serikali ya Uingereza itatangaza leo Jumanne mapendekezo mapya ya kukabiliana na suala tata la uhamiaji. Wahamiaji ambao watapatikana wakifanya kazi kinyume na sheria nchini Uingereza na Wales, watakabiliawa na hukumu ya hadi miezi sita gerezani na kupigwa faini ya fedha nyingi.

Vijana hapa nchi wametakiwa kujitambua kuwa wao ni kundi muhimu sana na linalotegemewa kama nguvu kazi ya Taifa, hivyo kutokana na hali hiyo wasikubali kutumiwa vibaya katika jambo lilote hasa katika kipindi hiki cha kampen za kuelekea uchaguzi mkuu oktoba 25 mwaka huu

Picha
Vijana wametakiwa kujitambua Vijana  hapa nchi wametakiwa kujitambua kuwa  wao ni kundi muhimu sana na linalotegemewa  kama nguvu kazi ya Taifa, hivyo kutokana na hali hiyo wasikubali kutumiwa vibaya katika jambo lilote hasa katika kipindi hiki cha kampen za kuelekea uchaguzi mkuu oktoba 25 mwaka huu Akiongea kwenye mkutanu wa uzinduzi wa  kampeni za chama cha mapinduzi uliofanyika katika Tarafa ya kifura wilaya kibondo mkoani Kigoma, aliyekuwa mgombea Ubunge kura za maoni kisha kuengeliwa na halmashauri kuu ya Ccm, Jamal Abdalah amesema kuwa vijana wengi hawajaweza kujitambu umuhimu walionao hali inayopelekea kurubuniwa na kujiingiza katika vitendo visivyostaili Jamal aliyekuwa mshindi katika kura za maoni na kuondolewa katika nafasi hiyo, amezidi kumnadi mgombea aliyepata nafasi ya tatu  na baadae kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Muhambwe Atashasta Nditiye amewataka wanachama  wa ccm na vyama vingine hususa vijana kutokubali kutumiwa vibaya katika uchaguzi 2015

Mkuu wa jeshi la polisi wilayani kakonko mkoani kigoma Bw. Filimoni Makungu amewataka wanasiasa kutumia sera zao kuwashawishi wananchi katika kampeni zao na kuepuka lugha za uchochezi ambazo huweza kuleta vurugu baina yao.

Picha
Mkuu wa jeshi la polisi wilayani kakonko mkoani kigoma Bw. Filimoni Makungu amewataka wanasiasa kutumia sera zao kuwashawishi wananchi katika kampeni zao na kuepuka lugha za uchochezi ambazo huweza kuleta vurugu baina yao. Filmon Makungu Ocd Kakonko Wito huo  ameutoa wakati akizungumza na na clouds  ofsini kwake alipo kuwa  akizungumzia mchakato wa jeshi la polisi wilayani humo walivyo jipanga katika kudhibiti vitendo vya uvunjifu wa amani hasa wakati wa kampeni mbalimbali za uchaguzi mkuu. Bw.Makungu amesema tume ya uchaguzi imetoa maelekezo mazuri kwa wagombea na hivyo hatarajii kuona kampeni za uchochezi na lugha chafu na kwa wale amabao  wataenda kinyume na maelekezo ya tume ya uchaguzi sheria zitachukua mkondo wake. Kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa halimashauli ya wilaya ya kakonko Bi.Jaina Msangi amesema wagombea kutoka vyama mbalimbali wanapokuja kuchukua fomu wamepewa maelekezo ya kutosha na hivyo hatarajii kuona dosari kwa wagombea hao wakati wa  kampeni zao

Kugombea pamoja si uadui bali tushikiane ili kuijenga Tanzania ijayo

Picha
Wanaotarajiwa kuingia katika kinyang,anyiro cha  uchaguzi mkuu hapa nchini kuwani viti mbalimbali vya ubunge Udiwani na Urais wametakiwa kujenga umoja kwa wananchi wanaotakiwa kuwapigia kura pasipo kuwagawa  na kusababisha hali ambazo hazistaili katika Taifa Akiongea kwenye mkutano wa adhara mjini kibondo mkoa wa kigoma mbunge anemaliza muda wake Felix Mkosamali amsema kuwa kuwa kitendo cha kugombea au kutafuta nafasi moja mkiwa wengi si uaduai hata kama kuna itikadi tofauti za vyama bali kila mgombea anatakiwa kutambua kuwa hii nchi ni mali ya watanzania wote na kinachotakiwa ni kuacha malumbano Amesema kuwa hali hiyo ya mgawanyiko inayowakumba wengi na kuamua kuwaingizia wafuasi wao mambo yanayoweza kusababisha vurugu na kuvunja undugu hatua inayoonyesha taswila ya kutokomaa kwa siasa katika Tanzania na Bara la Afrika Mkosamali katika mkutano amejiata kuwa nae mwaka huu amechukua fom ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Muhambwe kupitia umoja wa katiba ya wananchi Ukawa k

Pongezi kwa Issa Machaibya RC Kigoma, kwa kutoa msahada wa chakula na vifaa vya ujenzi katika shule

Picha
Ili jamii hapa nchini iweze kuwa na moyo wa kujitolea katika shuguli za maendeleo inatakiwa kuwepo na ushirikishwaji wa dhati kati ya viongozi na wananchi ikiwemo motisha hasa pale inapothibitika baadhi yao   wameitikia wito na kushiriki katika kazi za maendeleo ndani ya jamii.  Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya, ametoa vifaa vya ujenzi na chakula kwa ajili ya shule sekondari Mugombe iliyoko katika Kata ya Kagezi wilani kibondo, ikiwa ni motisha baada ya kukuta wamepiga hatua katika ujenzi wa Maabara Akikabidhi vitu hivyo jana, kwa niaba ya mkuu huyo wa mkoa katibu tawala wa wilaya kibondo Ayubu Sebabili, kwa Afisa elimu shule za sekondari Bi Honorata Kabundugulu, amesema kuwa hiyo ni ahadi aliyoitoa wakati alipokwenda katika ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa maabara na kukuta wamepiga hatua kubwa shuleni hapo. Aidha amesema kuwa zawadi  hiyo ni vizuri ukatumika kwa malengo yaliyokusudiwa na kueleza kwa ni kwa ajili ya kuwahamasisha wananchi kushiriki kati

Amisom waliwaua 6 harusini Somalia

Picha
Shirika la kupigania haki za binadamu lenye makao yake makuu huko Washington Marekani,Human Rights Watch (HRW), limesema kuwa majeshi ya mataifa ya muungano wa Afrika Amison yaliwashambulia wageni katika harusi moja iliyokuwa imeandaliwa huko Merka Somalia mwezi uliopita. Katika ripoti yake mpya shirika hilo la kupigania haki za kibinadamu mpya Human Rights Watch,linasema kuwa wanajeshi wa Uganda walivamia kijiji kimoja ambako kulikuwa na halaiki ya watu harusini. Waliingia chumbani na kuwatenganisha wanaume na wanawake. 'Katika chumba kimoja kilichokuwa na wageni, wanaume 6 walitenganishwa na wanawake na kisha wakawapiga risasi na kuwaua papo hapo.' 'Kati ya wanaume hao sita, wanaume wanne walikuwa ni ndugu baba yao mzazi na ami wao.' 'Wanne walikufa papo hapo kisha mmoja wa ndugu hao aliyejificha chini ya kitanda akawachwa hapo akavuja damu hadi akafa.' 'Walioshuhudia wanasema kuwa wanajeshi hao walikataa kata kata jamaa zao wasiwapeleke hospita

Elimisheni, Sheria ifuate baadae

Picha
Wastani wa mifuko ya plastic trilioni moja inatumika kila mwaka duniani, ambapo takribani mifuko milioni 2 inatumika kwa kila dakika. Hata hivyo matumizi ya mifuko ya plastic yanatofuatiana kutoka nchi moja hadi nyingine na Tanzania ikiwemo inakadiliwa matumizi ya mtu mmoja kwa mwaka ni jumla ya mifuko ya plastic 96 Mifuko ya plastic inatokana na rasilimali za gesi asilia pamoja na petrol, ambapo inaweza kudumu katika mazingira ya vipande vipande kwa miaka zaidi ya 100 bila kuteketea na hata ikiteketezwa kwa moto usababisha hewa ya ukaa ambayo ni hatari kwa afya na ikifukiwa ardhini haiozi na  kuzuia maji na hewa kuingia ardhini Mohamedi Semdoe ni Afisa usafi na mazingira wilaya kibondo mkoani Kigoma wakati wa kampeni ya usafi amefafanua kuwa ni vema jamii ikaelimishwa juu mambo mbalimbali ambayo serika inakuwa imeamua yafanyike likiwemo la usafi badala ya kukazia sheria zaidi kama alivyoamua kutengeneza Godoro lililotokana na mifuko ya Plastic ambapo  jamii itahamasika katika

Watakiwa kusalimisha Siraha Haramu kwa muda uliopangwa

Picha
Watakiwa kusalimisha Siraha Haramu  kwa muda uliopangwa Mrakibu wa Polis  Marko Joshua Ocd Kibondo Katika hatua ya kuboresha hali ya usalama hapa nchini,Jeshi la Polisi kuanzia june 12 mwaka huu lilitoa muda  wa kusalimisha siraha haramu kwa iyali zinazomilikiwa kinyume cha sheria Mkuu wa Polis wa wilaya kibondo mkoani kigoma Marko Joshua alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana,  ameitaka jamii kuutumia vizuri muda uliotolewa na serikali kwa  kuhakikisha kila mtu anayemiliki siraha yoyote kinyume cha sheria anaisalimisha ili kudumisha dhana ya kutii wa sheria bila shuluti na kuongeza kuwa mtu anaweza kupeleka katika ofisi ya kata au kijiji au kituo chochote cha polisi na asisumbuliwe Joshua amesema kuwa muda uliotolewa na serikali ni kuazia june 12 hadi september 12 mwaka huu, kwa yule ambaye  hatafuata utaratibu huo,  kutapitika msako mkali ikiwa ni pamoja na kuwachukulia hatua kali za kisheria wale watakao bainika kwani mpaka sasa hakuna si