KUPINGA MAJARIBIO YA SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI

 

























 Silaha za a nyuklia ni silaha zinazosababisha madhala makubwa sana, kati ya silaha zote, hilo n ibomu lenye nguvu na pia lenye hatari zaidi, kuna  mataifa yenye uwezo mkubwa wa silaha hatari za nyuklia ulimwenguni na kuwa tishio kubwa.

 

Ikumbukwe kuwa Bomu hilo hapo awali lilikuwa linaitwa Scud na lilitengenezwa 1943 na Mtu mmoja Raia wa Israel aliyejulikana kwa Jina la Alberth Instain na baadae Bomu hilo liliboreshwa kutoka   R 9 Scud- B  kuwa Atomic  Julai 12 1945 huko nchini Marekani kupitia Mradi wa Marnhata.

 

Silaha hizo zilitumika kwa Mara ya Kwanza katika Vita kuu ya pili ya Dunia mnamo Agost 6,1945 Marekani iliporusha bomu hiro  katika Mji wa Nagasaki nchini Japani na kuuwa Watu laki 1 na wengine laki 1 na 30 walifariki baadae kutokanana kupata Majeraha makubwa

 

Siku tatu baadae, Bomu hilo Atomic lilirushwa katika Mji wa Hiroshima nchini Japani Agost 9, 1945 na kusababisha madhala ambayo yanaendelea hadi leo katika maeneo hayo

 

Wiki tatu baada ya mashambulizi ya Japani, baada ya Atomic kurutubishwa kuwa Nyuklia, Marekani ilifanya jaribio lake la kwanza la Nyuklia katika Jimbo la New York kazi iliyopewa jina la siri la Trinity, jaribio lilisababisha Mlipuko mkubwa na kuleta madhala ya kibinadamu kwa Watu waliokuwa wanaendelea na shughuli zao katika maeneo ya jirani na hatua hiyo iliendelea kuleta athari kwa Watu hadi leo, kutokana na hali hiyo, kila tar 29, Agost kila mwaka ni siku ya kupinga majaribio ya Nyuklia hatua inayolenga kuondoa vitisho na kuuweka ulimwengu katika hali salama

 

Kwa kuachilia hewani Mistuni na Baharini Mabomu hayo, usambaza Sumu kali ambayo usababisha Majanga  mbalimbali kama Sarani na Magonjwa ya kudumu na tangu 1945 yameshafanyika majaribio 2,000 hadi sasa tatizo kubwa si silaha hizo bali wamiliki kutokana na tabia zao huruka, wakifikiriwa kuwa huenda Mtu akatumia silaha hizo kusababisha madhala ya kibinadamu kutokana na mitazamo

 

 

Kwa njia hiyo kila tarehe 29 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa Dhidi ya Majaribio ya Nyuklia. Katika taarifa  inabainisha kuwa Mkataba wa kimataifa wa kupinga majaribio ya silaha za nyuklia, CTBT, haujaweza kuanza kutumika kwa sababu idadi ya nchi zinazopaswa kuridhia ili uweze kuanza kutumika bado haijatimia. 

 

Mkataba huo ulipitishwa na Baraza Kuu la  Umoja wa Mataifa tarehe 10 mwezi Septemba mwaka 1996, na kutiwa saini tarehe 24 mwezi huo huo wa Septemba mwaka 1996. Ingawa hivyo hadi sasa haujaanza kutumika ukisubiri nchi 9 ambazo ni China, Misri, India, Iran, Israeli, Korea Kaskazini, Pakistani, Urusi na Marekani.

 

 

 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI SGR NA KUZINDUA MELI NNE ZA MIZIGO ZIWA TANGANYIKA

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu