Baadhi ya askali Polis na mgambo wanaofanya kazi maeneo ya mipakani wametakiwa kuwa waadilifu na kuacha kuwanyanyasa wageni ambao ni Laia wa Burundi wanaokuwa wakiingia nchini kaika maeneo ya mipakani kufanya shughuli mbambali za ki ujirani mwema ili kuifanya dhana hiyo kuwa tija.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya kibondo mkoani kigoma Venance Mwamoto, wakati wa uzinduzi wa Soko la ujirani mwema lililojengwa mpakani mwa Burundi na Tanzani katika kijiji cha Kibuye kata ya Kumsenga.

Katika hotuba yake iliyotolewa  kwa niaba yake   na Katibu tawala wa wilaya hiyo Bw, ayubu Sebabile  amesema kuwa kumekuwepo na vitendo kwa baadhi ya Askali polisi na Mgambo  kuwa toza pesa laia wa Burundi ambao wamekuwa wakiingia  Tanzaana kwa ajili ya kufanya biashara na metembezi ya kawaida maeneo ya mipakani hali ambayo ni kinyume na utaratibu na kupiga marufuku hali hiyo isirudiwe tena.

Insert I Ayubu Sebabili katibu tawala
Que in………………

Wananchi wanaoishi maeneo ya mipakani wanaruhusiwa kutembea kilomita kumi na 15 ndani ya nchi nyingine bila kusumbuliwa hivyo  kuwatoza pesa kwa kisingizio cha kuingia nchini  ni kinyume cha taratibu.
Askali hao wamelalamikiwa kuwatoza shilingi elfu 2 hadi 3 kila anayeingia  Tanzania


Amesema serikali inafanya kila namna kuhakikisha inainua  na kuboresha uchumi na maisha ya mtazania kuanzia ngazi ya chini.

Insert 2 Ayubu sebabile katibu tawala W kibondo
Que in…………………………

Kwa upande wao baadhi ya Wananchi wa Burundi waliofika katika uzinduzi huo wamesema kuwa ni kweli mipango ya serikali hizi mbili ni kuhakikisha watu wao wanaishi katika hali ya amani na kwa kushirikiana ila kumekuwepo na baadhi watu wambao wamekuwa wakikwa amisha juhudi hizo kwa kukiuka taratibu

Aidha wamedai kuwa kama hakutakwepo na hatua za dhati za viongozi kuwaonya na kuwaeleza walinzi wanaofanya kazi mipakani kuwa waadilifu, basi kuendelea kutumia garama kubwa kujenga masoko ya mipakani kama hayo kwa ajili ya  kufanya biashara kwa kushirikiana kutakuwa hakuna maana

Insert Soni Ntahongela, toka Burundi
Insert Nashoni Kanegene Diwani kata ya Kiharu Burundi
Que in…………..

Pamoja na mambo megine, wanachi wa naoishi maeneo hayo ya mpakani, wamesema kwakuwa lengo kuwaendeleza wananchi wao, wameziomba serikali za nchi zote mbili kutoa elimu kwa wananchi ili kujikinga ma magonjwa mbamli ya mlipuko   kama kipindu na Ebola  kutegemeana na muingiliano wa watu wengi na kuweka ulinzi ili kukabiliana na vitendo vya ujambazi vinavyoweza kujitikeza kaika maeneo ya mipakani.

wamezipongeza serikali kwa kweka soko hilo eneo la mpakani kwani wataweza kufanya shuguli zao kwa uhakika foauti na hapo awali ambapo walikuwa wakifanya kazi kwa usumbu, ila kwa hivi sasa wenzao wa Burundi watajua kuwa pakuchulia bidhaa wanazozihitaji papo na ni sehemu salama hali ambayo itawaongezea kipato watanzania.

Inserts Watanzania

Insert Stephan  Aporinali mkazi wa kumsenga
 Insert Bariki Leonard mkazi wa kumsenga

Que in…………  

Ujenzi wa soko hilo umegarimu kiasi cha shilingi za kitanzania milioni 110  kwa fedha za serikali za mitaa LCGD  na ujenzi wake ulianza june 2011 na kukamilika May 2013 kuzindulia mwezi October 2014

Mwisho


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao