Machapisho

Serikali imesema inalenga ifikapo mwaka 2021 vijiji vyote hapa nchini vitakuwa visambaziwa nishati ya umeme ili kuondoa changamotombalimbali zinazowakabili wananchi ikiwa ni pamoja na kukuza uchumi hasa katika maeneo ya Vijijini

Picha
 Muhingo Mwemezi Medad Kaleman Waziri wa Nishati na Madini Raymon Seya [Tanesco] Bangie Msofe[Rea] Kibondo Serikali imesema inalenga ifikapo mwaka 2021 vijiji vyote hapa nchini vitakuwa visambaziwa nishati ya umeme ili kuondoa changamotombalimbali zinazowakabili wananchi ikiwa ni pamoja na kukuza uchumi hasa katika maeneo ya Vijijini Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nishati na Madini Medadi Kalemani wakati wa uzindizi wa Rea awamu ya tatu uliofanyika kimkoa katikata ya mabamba wilayani kibondo mkoani Kigoma ambapo amesema hadi hivi sasa vijiji vilivyobaki ni 7873 Nchi nzima Aidha Kalemani amewataka Watanzania kutokana na   hatua hiyo ya serikali kupitia wizara ya Nishati na Madini kuchangamkia fulsa hiyo kwa kuboresha miundo mbinu majumbani ili waweze kupata huduma hiyo muhimu Katika Uzinduzi huo mkuu wa Mkoa Kigoma Brigedia General Mstaafu Emmanuel Maganga amemtaka Mkandarasi kufuata taratibu za makubaliano   na ...

Wanaume wametakiwa kujitokeza kwenye madawati ya jinsia yaliyoko mawilayani kwao ili kupata ushauri na suluhu pindi wanapotendewa vitendo vya kikatili toka kwa wanawake katika familia zaoAnna Tindwa Mkuu wa dawati la Jinsia kibondo

Picha
Anna Tindwa, Mkuu wa Dawati la Jinsia Kibondo Wanaume wametakiwa kujitokeza kwenye madawati ya jinsia yaliyoko mawilayani kwao ili kupata ushauri na suluhu pindi wanapotendewa vitendo vya kikatili toka kwa wanawake katika familia zao Akiongea na Blog hii jana Ofisini kwake, Mkuu wa Dawati la Jinsia wilayani Kibondo Mkoani Kigoma Anna Tindwa amesema kuwa wanaume wengi wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya unyanyasaji ikiwemo hata Vipigo lakini wamekuwa wakikaa kimya kwa kuona aibu bila kuripoti matatizo hayo Tindwa aliongeza kusema kuwa, hali ilivyo hivi sasa bado vipo vitendo vya unyanyasaji kwa wanaoume wanavyotendewa katika Ndoa zao, lakini haviripotiwi hali ambayo pengine usababisha madhala makubwa visipopatiwa ufumbuzi ''kwa mwaka 2017 kuanzia mwezi january hadi desemba ofisi yangu ilipokea kesi za malalamiko ya ukatili wa kijinsia lakini walio wengi ni wanawake wanaolalamika na kati ya wanawake kumi wanafika hapa kutoataarifa za kunyan...

TUNAVIJUA VIPAUMBELE VYETU? TUNASHIRIKI KUVITIMIZA?

Picha
TUNAVIJUA VIPAUMBELE VYETU? TUNASHIRIKI KUVITIMIZA? Kila siku nasikia viongozi wetu wakiimba wimbo wa kuwainua wananchi wake kiuchumi. Mara viwanda. Mara kilimo ilichoboreshwa. Mara ufugani wenye tija. Ukisikia Rais anawahutubia mabalozi wetu wanaotuwakilisha nchi za nje, wimbo ni huo huo. Mabalozi wanaokuja kuziwakilisha nchi zao. Wanaambiwa angalieni fursa. Utagundua haraka kuwa viongozi nao wamechoka kuongoza watu maskini. Wanataka wabadilike.  Unatarajia kuwa kila mtu au taasisi itashiriki na kuchangia wimbo huo. Polisi barabarani hawatarajii kumsi9mamisha mwenye gari lililobeba nyanya na kuanza kumuuliza “mbona kuna mkwaruzo kwenye bonet”. Niliwahi kutembelea Rwanda myaka ya karibuni. Polisi walisimamisha gari lililobeba mazao yanayooza kama nyanya. Gari lilikuwa matairi yake yamekwisha. Polisi akamwambia dereva “ukifikisha mzigo wako kabadilishe matairi yako yameisha. Haya wahi”.  Nilijua Polisi huyu anajua malengo ya Kagame. Si kuyajua tu bali anachangi...

Lalibela katika Ethiopia ya Kaskazini ni nyumba ya makanisa ya kale na ya kuvutia ambayo yalifunikwa mwishoni mwa karne ya 12.

Picha
makanisa ya kale na ya kuvutia ambayo yalifunikwa mwishoni mwa karne ya 12 Lalibela katika Ethiopia ya Kaskazini ni nyumba ya makanisa ya kale na ya kuvutia ambayo yalifunikwa mwishoni mwa karne ya 12. Makanisa hayo yaliagizwa na mfalme Lalibela ambaye alitaka kujenga Yerusalemu mpya kwa wasomi wake. Wanahistoria wengi waliamini kwamba sanaa ya kuchonga makanisa ilikwisha zaidi ya miaka 500 iliyopita. Lakini hata leo, uvumbuzi mpya wa makanisa hayo unaendelea. Prof Michael Gervers ni mhadhiri wa Historia katika Chuo kikuu cha Toronto nchini Canada na amekuwa akifanya utafiti wa makanisa yaliyochongwa kutoka kwa mawe kwa zaidi ya miaka thelathini. Na anasema watafiti wengi wanakubali kwamba taaluma hii ya kujenga makanisa ya miamba ilikiwisha mwishoni mwa karne ya 15. Lakini kama tulivyopita zaidi ya miaka mitatu iliyopita, hili ni jambo linaloendelea. Bwawa la Ethiopia lasababisha upungufu wa maji Kenya Mwanasiasa wa Ethiopia afungwa kwa sababu ya ujumbe Facebook Eth...

Rais wa Marekani amewashutumu wahamiaji wanaoingia nchini humo kwa kuwatusi katika afisi yake ndani ya Ikulu ya Whitehouse.

Picha
Rais wa Marekani amewashutumu wahamiaji wanaoingia nchini humo kwa kuwatusi katika afisi yake ndani ya Ikulu ya Whitehouse. ''Kwa nini tunawaruhusu watu hawa kutoka mataifa 'machafu'"? Rais Trump aliwaambia wabunge siku ya Alhamisi kulingana na gazeti la The Washington Post. Tamko hilo lilidaiwa kuwalenga watu kutoka Afrika, Haiti na El Salvador. Trump kuwazuia wahamiaji kuingia Marekani Donald Trump kuwarejesha wahamiaji kwao Trump apingwa tena juu ya sheria ya uhamiaji Ikulu ya Whitehouse haikukana tamko hilo ambalo lilithibitishwa na vyombo vyengine vya habari. ''Wanasiasa fulani wa Washington hupendelea kupigania mataifa ya kigeni, lakini rais Trump atawapigania raia wa M arekani pekee,taarifa iliotoka katika msemaji wa Ikulu Raj Sha ilisema. Iliendelea: Kama mataifa mengine ambayo yana wahamiaji wanaofaa kuwa nchini humo, rais Trump anapigania suluhu ya kudumu inazofanya taifa hilo kuwa thabiti kwa kuwakaribisha wale ambao wana mchang...

Rouhani amjibu Trump na kusema ni adui wa Iran

Picha
Mamlaka za Israel zimemfungulia mashtaka msichana mpalestina ambaye alirekodiwa kwenye video akimshambulia mwanajeshi wa Israel. Ahed Tamimi, 17, na binamu yake walirekodiwa kwenye video wakiwakabili wanajeshi wa Israel katika kanda iliyosambaa pakubwa katika mitandao ya kijamii. Anakabiliwa na kesi 12 ikiwemo dhuluma na kurusha mawe. Lakini familia yake inasema kuwa walihusika kwenye maandamano katika eneo linalokaliwa na Israel la Ukingo wa Magharibi. Wapalestina wamuita balozi wao kutoka Marekani Mwanajeshi wa Israel miezi 18 jela kwa kumuua Mpalestina Jerusalem: Mataifa ya kiarabu yalaani hatua ya Marekani Jeshi la Israel linasema kuwa wanajeshi hao walikuwa wakiwazuia wapalestina kutokana na kurusha mawe kwa waendesha magari. Video hiyo iyorekodiwa tarehe 15 Disemba ilionyesha kikundi cha wanawake akiwemo Tamini, wakiwapiga wanajeshi wawili wa Israel waliokuwa wamejihami vikali. Ilisambaa sana katika mitandao na wapalestina wengi wamemsifu Tamini kuwa shujaa k...

Rouhani amjibu Trump na kusema ni adui wa Iran

Picha
Rais wa Iran Hassan Rouhani amesema rais wa Marekani ni adui mkuu wa taifa hilo kuanzia utosini hadi kwenye unyayo. Ameyasema hayo akijibu ujumbe wa rais Trump alioutoa kupitia ukurasa wake wa twitter. Katika ujumbe wake rais Trump amesema kuwa waandamanaji wa Iran wanadai haki yao ambayo wamekuwa wakipigania kwa miaka mingi kuhusiana na njaa na kukosekana kwa uhuru wao. Rais wa Iran Hassan Rouhani aikosoa hotuba ya Trump Ndugu yake rais wa Iran atupwa korokoroni Iran: Tutaunda silaha yoyote kujilinda Picha za video zimeonyesha waandamanaji wakikabiliana na Polisi katika maandmano yaliyoanza tangu siku ya alhamis na ambayo yanaendelea katika kusambaa katika miji mingine nchini humo. Polisi mmoja ameuawa na waandamanaji hao ambao baadhi yao wanajihami kwa bunduki aina ya rifle na hivyo kufanya idadi ya watu 13 kuuawa hadi sasa. Rais Rouhan wa Iran