Al-Sisi,aomba msaada dhidi ya IS

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amesema kuna haja majeshi ya muungano wa jumuiya ya kiarabu ya Pan-Arab kutoa majeshi yao ili kukabiliana na ugaidi.
Amesema kuwa mataifa kadhaa yametoa majeshi yao kukabiliana na kundi la wapiganaji wa Kiislam wa Islamic State tangu kuuawa kwa Wakristuhuko nchini Libya. Mataifa yaliyotoa misaada ya kifedha na kijeshi ni Jordan,Falme za Kiarabu na Marekani kwa lengo la kuangamiza kundi hilo Syria na Iraq. Akizungumza kupitia Televishen Sisi amesisitiza misaada ya kifedha kutoka mataifa ya Saud Arabia ambao walisaidia wakati wa kuuangusha utawala wa aliyekuwa Rais wa Kiislam wa Mohammed Morsi.
Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao