Uchaguzi wa Nigeria hauna uhakika

Tume ya uchaguzi ya Nigeria imekutana na waakilishi wa vyama vyote vya siasa vilivyoandikishwa kujadili iwapo uchaguzi mkuu wa Jumamosi (14/02/15) unafaa kuakhirishwa.

Rais Goodluck Jonathan, magavana wa majimbo, wakuu wa jeshi, na ma-rais wa zamani, wameiomba tume ya uchaguzi ijadili na pande zote kuhusu hali ya usalama nchini.

Kundi la wapiganaji Waislamu, Boko Haram, linafanya mashambulio makali kaskazini-mashariki mwa Nigeria ambako linadhibiti eneo kubwa.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao