Uchaguzi wa Nigeria hauna uhakika

Tume ya uchaguzi ya Nigeria imekutana na waakilishi wa vyama vyote vya siasa vilivyoandikishwa kujadili iwapo uchaguzi mkuu wa Jumamosi (14/02/15) unafaa kuakhirishwa.

Rais Goodluck Jonathan, magavana wa majimbo, wakuu wa jeshi, na ma-rais wa zamani, wameiomba tume ya uchaguzi ijadili na pande zote kuhusu hali ya usalama nchini.

Kundi la wapiganaji Waislamu, Boko Haram, linafanya mashambulio makali kaskazini-mashariki mwa Nigeria ambako linadhibiti eneo kubwa.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Shule ya msingi Nengo ya Walemavu, iliyoko wilayani Kibondo mkoani kigoma, inayohudumia wanafunzi walemavu wa mahitaji maalum inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni ukosefu wa maji Vifaa vya kujinfunza na kufundishia na vyombo vya kulia chakula