David Petraeus alitoa siri za Jeshi

Jaji wa mahakama ya jimbo la North Carolina nchini Marekani amemhukumu mkurugenzi wa zamani wa shirika la kijasusi la CIA, Jenerali David Petraeus kwa makosa ya kutoa siri za kijeshi kwa mpenzi wake.
Patraeus ametakiwa kulipa fine ya dola za kimarekani lakimoja.
Awali Jenerali huyo alikana kufanya makosa hayo lakini baadae alikiri kutoa taarifa hizo kwa mpenziwe Paula Broadwell ambaye alikuwa na uhusiano nae wa kimapenzi alipokuwa Mkuu wa CIA.
Mwandishi wa BBC jijini Washington amesema kuwa inaaminika kuwa Petraeus ataendelea na kazi yake ya sasa ya Mshauri wa maswala ya usalama Ikulu.
Mkuu wa zamani wa Shirika la kijasusi nchini Marekani, David Patraeus

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao