Mateka wa Sweden waachiliwa huru Syria

Maafisa nchini Sweden wanasema kuwa raia wake wawili ambao walikuwa wakishikiliwa mateka nchini Syria wameachiliwa huru kupitia usaidizi wa utawala wa Palestina na Jordan
Watu hao wawili waliripotiwa kutekwa na kundi lenye uhusiano na mtandao wa al Qaeda nchini syria la al-Nusra Front.
Waziri wa mambo ya nje nchini Sweden anasema kuwa idara ya ulinzi kwenye utawala wa Palestina, imechukua karibu miezi miwili kusaidia kwenye mazungumzo ya kuachiliwa kwa watu hao.
Hata hivyo haijajulikana iwapo fedha ililipwa ili watu hao waachiliwe.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao