Kijana aliyewavamia polisi auawa Israel



Maafisa wa polisi wa Israel
Polisi nchini Israeli wanasema kuwa wamemuua kwa kumpiga risasi kijana mmoja wa Kipalestina ambaye alikuwa na kisu kwenye kizuizi kimoja mashariki mwa Jerusalem.
Wanasema kuwa kijana huyo mwenye umri wa miaka 16 alijaribu kuwadunga kisu maafisa wa mpakani alipokuwa akiwavamia maafisa hao na kisu mkononi.
Kisa hicho kilitokea mapema jumamosi karibu na kizuizi cha Al-Zaim
Polisi wa Isreali walichapisha mitandaoni picha na kisu ambacho kijana hiyo alikuwa nacho.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao