Kijana aliyewavamia polisi auawa Israel



Maafisa wa polisi wa Israel
Polisi nchini Israeli wanasema kuwa wamemuua kwa kumpiga risasi kijana mmoja wa Kipalestina ambaye alikuwa na kisu kwenye kizuizi kimoja mashariki mwa Jerusalem.
Wanasema kuwa kijana huyo mwenye umri wa miaka 16 alijaribu kuwadunga kisu maafisa wa mpakani alipokuwa akiwavamia maafisa hao na kisu mkononi.
Kisa hicho kilitokea mapema jumamosi karibu na kizuizi cha Al-Zaim
Polisi wa Isreali walichapisha mitandaoni picha na kisu ambacho kijana hiyo alikuwa nacho.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Shule ya msingi Nengo ya Walemavu, iliyoko wilayani Kibondo mkoani kigoma, inayohudumia wanafunzi walemavu wa mahitaji maalum inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni ukosefu wa maji Vifaa vya kujinfunza na kufundishia na vyombo vya kulia chakula