Mayweather:Mimi ni bora kuliko Moh'd Ali

Floyd Mayweather amesisitiza kuwa yeye ndio bondia bora zaidi kuliko Mohammed Ali.
Ijapokuwa amesema kuwa anaheshimu kile kilichochangiwa na Ali katika mchezo wa ndondi,anasema kuwa amefanya zaidi ya Ali kwa kupigana bila kushindwa.
Mayweather alisema kuwa yeye ni bora kushinda Mohammed Ali,Sugar Ray kufuatia rekodi yake ya mapigano 47 bila ya kupoteza hata pigano moja.
Vilevile ameongezea kuwa hangeweza kushindwa na Leon Spinks aliyemshinda Mohammed Ali mwaka wa 1978.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao