69 wahukumiwa maisha Misri

Mahakama ya Misri imewahukumia kifungo ncha maisha jela, watu 69 baada ya kupatikana na hatia kuchoma kanisa moja nchini humo.
Kanisa hilo liliteketezwa moto wakati machafuko yalipozuka eneo la Kerdasa karibu na mji wa Cairo mwaka 2013.
Makabiliano makali yalizuka pale jeshi lilipoanza kuwaondoa wafuasi wa aliyekua Rais Mohammed Morsi kutoka maeneo waliokua wakiandamana.
Mamia ya waandamanaji waliuawa kwenye operesheni hiyo.
Mahakama nchini Misri

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao