Tetemeko la ardhi lawaua 1000 Nepal

Zaidi ya watu mia nane wamepoteza maisha kufuatia tetemeko kubwa la ardhi nchini Nepal karibu na mji mkuu wa Kathmandu.
Polisi wamesema idadi hiyo inaweza kuongezeka kwa kuwa watu wengi wamejeruhiwa huku wengine wakishindwa kujulikana walipo kwa hofu huenda wamefukiwa na kifusi.Tetemeko hilo lenye ukubwa wa saba nukta tisa katika vipimo vya richa limeathiri maeneo ya katikati mwa mji wa Kathmandu na mji wa Pokhara.
Majengo kadhaa ya kihistoria yamevunjwa na tetemeko hiloSerikali imetangaza hali ya dharura huku ikisema inahitaji msaada wa kimataifa.   


Tetemeko la ardhi mjni Nepal lenye vipimo vya richa 9.7

chanzo  ni Bbc




Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

HATARI: Wengi wanunua sabuni za dawa bila maelekezo ya wataalamu

Wazazi timizeni wajibu wenu katika Malezi ili Watoto wenu wafikie Ndoto zao